MAGONJWA YA MIFUGO, DALILI NA TIBA - KILIMO NA UFUGAJI

Latest

Karibu uweze kujifunza na kujipatia elimu kuhusiana na kilimo na ufugaji ambapo utajifunza mbinu bora za kilimo na ufugaji pia utajifunza dondoo mbalimbali na mbinu bora na za kisasa za ufugaji

Thursday, September 28, 2017

MAGONJWA YA MIFUGO, DALILI NA TIBA

EAST COAST FEVER
( Ndigana kali)
Ndigana kali ni gonjwa ambalo sio la kuambukiza, ambalo umpata ngombe na hua dalili zifuatazo   
Ø   Homa kali
Ø  kukohoa
Ø  dyspnoea
Ø   Kutokwa na kamasi
Ø  Kuvimba lymp 



 MAAMBUKIZI
 Ndigana kali husambazwa na kupe anaeitwa Rhipicephalus appendiculatus
Huambukiza kwa kula masikio ya ndama na pia huzaliana hapo nakua wengi.



utambuzi
unaweza kutambua kwa kutumia historia ya mfugaji kuwaosha, lakini pia unaweza kutambua kwa kutumia dalili zifuatazo.

  • homa kali
  •  kutokea kwa magonjwa mengine yanayo tokana na kupe mfano (Anaplasmosis, Babesiosis, Trypanosomosis)
  • mnyama kukosa laa 
  • kuvimba lymp

TIBA

  • Clexon (parvaquone,10mg/kg IM, q 48h tiba mara mbili) inaleta matokeo mazuri  
Matayalisho mengine kama dawa (Buparvaquone, fruvexone, parvexon)
Prednisolone (inapunguza uvimbe) 
usafi wa hali ya juu
kuzungushia fence kupulizia dawa malisho na wanyama
 natumaini umejifunza kitu usisite kua namimi wakati mwingine ili kufahamu gonjwa lingine


USISAHAU KUPAKUA / KUDOWNLOAD APPLICATION YA KILIMO BORA IPO PLAY STORE ILI UPATE HABARI KWA URAHISI BONYEZA LINK HII KUDOWNLOAD ==> http://ift.tt/2tqvrGF

No comments:

Post a Comment