Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko - KILIMO NA UFUGAJI

Latest

Karibu uweze kujifunza na kujipatia elimu kuhusiana na kilimo na ufugaji ambapo utajifunza mbinu bora za kilimo na ufugaji pia utajifunza dondoo mbalimbali na mbinu bora na za kisasa za ufugaji

Monday, June 19, 2017

Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Matikiti aji aina ya  Sugar baby inachukua siku 60 tu kuvuna ukiongeza na  siku 3-5 za kukaa ardhini, zao hili unaweza kulima mara  4  mwaka. Mfano ukiwa na  ekari 5  kila eka moja inaweza kukuingizia Milioni 2 hadi 3.

Mambo muhimu

  • Nafasi inayotakiwa  ni 2mm toka mmea mmoja kwenda mwingine
  • Kila shimo unaweza weka mbegu 2 ambazo zinazaa matunda 2 hadi 3 
  • Kila shimo unaweza kupata matunda 4 hadi 6 ( wastani matunda 5).
  • Kwa ukubwa  wa ekari 5 unaweza kuwa na mashimo 1000 hadi 1200
  • Idadi ya matunda: Mashimo x Matunda kwa shimo x ekari (1,000 x 5 x 5 = 25,000)
Mapato: wastani wa shilingi 500 kwa tikiti x idadi ya matikiti kwa eneo la ekari 5 (25,000 x 500 = 12,500,000)
Mapato kwa mwaka: 12,500,000 x 4= 50,000,000
Gharama za uendeshaji wa shamba ni Tsh 25,000,000
Faida Kuu ni Tshs 25,000,000 Milioni.

No comments:

Post a Comment