
MAGONJWA SUGU YA MFUMO WA HEWA
Chanzo cha maambukizi
•Maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa na kwenye vimelea
•Kupitia mfumo wa hewa kutoka kuku wagonjwa
•Kupitia mayai, hivyo maambukizi huendelea kutoka kizazi hadi kizazi
Dalili
•Kuku kukoroma
•Kuku hutoa makamasi
•Kuku wanakohoa kwa muda mrefu, wiki hadi mwezi
•Kuvimba macho
•Kutingisha kichwa
•Vivo vya kuku viaweza kufikia hadi asilimia 20
Uchunguzi
Kamasi nzito zenye usaha zilizotapakaa kwenye pia, koromeo, mapafu na vifuko vya hewa
Tiba
Madawa aina ya sulfa na antibiotiki
from Kijana Endelevu Group https://ift.tt/2KOfljV
USISAHAU KUPAKUA / KUDOWNLOAD APPLICATION YETU INAYOITWA KILIMO CHA KISASA SASA INAPATIKANA PLAY STORE BUREEE KABISA
No comments:
Post a Comment