MATUMIZ YA MBOLEA ZA KUKUZIA KWENYE MAHINDI - KILIMO NA UFUGAJI

Latest

Karibu uweze kujifunza na kujipatia elimu kuhusiana na kilimo na ufugaji ambapo utajifunza mbinu bora za kilimo na ufugaji pia utajifunza dondoo mbalimbali na mbinu bora na za kisasa za ufugaji

Monday, May 8, 2017

MATUMIZ YA MBOLEA ZA KUKUZIA KWENYE MAHINDI

                                   
 Mbolea za kukuzia ni mbolea zinzotumika kuupa mmea afya nzur na mavuno kuwa mazuri wakati wa kuvuna. mbolea hizi zikitumika vibaya pia huleta madhara makubwa kwa mlaji na ardhi kwa ujumla, zipo mbolea za aina nying lakin leo nitazungumzia
   CAN na
   UREA.
hizi ni mbolea ambazo zinapatikana kwa urahisi na wakulima weng hupenda kuzitumia katika kukuzia mimea yao kama mahindi maharage viazi na n.k
    
       JINSI YA KUTUMIA KWA VIPIMO
 tumia mfuko mmoja waa kg 50 kwa ekari moja uishe wote, weka kwa vipimo maalumu na kwa usahihi ili kupata mavuno bora
    weka  mbolea mara mbili kulingana na ahali ya mazao yako, anza na mbolea ya UREA ili kuupa mmea afya nzurio a kukua araka, baada ya hapoo  tumia CAN pale mahindi yanapokaribia kueka mtoto au gunz ili kuupa uwezo wa kueka punje kubwa na imara kwa gunz lote bila kubakisha.
   weka g5-10 kwa kila mmea nfdani ya shamba lakoo ili kusaidia kupata mavuno mengi
 UREA hubeba nitreogen kwa wingi
 CAN husaidia kuongeza calcium kwenye mmea
    mbolea zipo za aina nyingi zingoine pia ni nzur lakini zitumike kwa vipimo maalumu ili kuto kukupa hasara kwenye mavuno

No comments:

Post a Comment