KILIMO CHA PILIPILI HOHO (SWEET PEPPER) - KILIMO NA UFUGAJI

Latest

Karibu uweze kujifunza na kujipatia elimu kuhusiana na kilimo na ufugaji ambapo utajifunza mbinu bora za kilimo na ufugaji pia utajifunza dondoo mbalimbali na mbinu bora na za kisasa za ufugaji

Monday, June 12, 2017

KILIMO CHA PILIPILI HOHO (SWEET PEPPER)


  

    pilipili hoho ni zao ambalo hulimwa sehemu nyingi nchin tanzania na hutumiwa na watu wengi kama kiungio cha mboga na pia hutumika kama mboga chenyewe. hili ni zao ambalo huchukua mda mfupi kukua hadi kuanza kuvunna.  na huvunwa zaidi ya mara tano hadi sita likihudumiwa vizurii.
    
        KUANDAA SHAMBA
 andaa shamba vizuri kwa kulitifulia vizuri na kulimwagia samadi mapema kabla ya kupanda zao hili. unaweza kulima kwa trekta kama unauwezo na jembe la mkono pia laweza tumika ili kufanya maandalizi mazuri ya shamba
    KUANDAA MBEGU
   Andaa mbegu mapema kwenye kitalu safi  ili kuweza kuhamishia kwenye eneo lako badae unapoanza kupanda. si vizuri kuandaa kitalu mbali na eneo ambalo unategemea kupanda mbegu zako. mbegu iachwe ikue vizuri ndipo ihamishwe shambani kwa ajili ya uzalishaji.
    a
AINA ZA MBEGU
    Zipo aina  nyingi za mbegu ya pilipili hoho ambazo hulimwa na hupendwa sana na watu wengi. kwa mfano kuna( psserela) na (illanga) ambazo zinakua na rangi tofauti
     MBOLEA
 Tumia dap kwa kupandia na baada ya hapoo utaeka CAN au UREA kwa kuzia na wakati wa kuanza kutoa maua tumia MOP kwa kuimarisha maua yasidondoke ovyoo. tupia dawa za madudu unapoona wadudu anashambulia mmea wakoo na dawa za ukungu kipindi mimea inapoanza kuathirikaa

    kKUVUNNA
  pilipili hoho huchukua miezi mitatu hadi kuanza kuvuna na kumaliza kuvuna pia hivyo ni zao la muda mfupi na linafaida kubwaa
  hakikisha unaandaa sehem ya kuweka kumbukumbu za mapato na matumizi kujua kua kilimo kina faida kwako au hasara.

USISAHAU KUDOWNLOAD APPLICATION YA KILIMO BORA IPO PLAY STORE

DOWNLOAD HAPA SASA

                     



No comments:

Post a Comment